Hesabu 12:6 - Swahili Revised Union Version6 Kisha akawaambia, Sikilizeni basi maneno yangu; Akiwapo nabii kati yenu, Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: Kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: Kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Kisha Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: kama kuna nabii miongoni mwenu, mimi Mwenyezi-Mungu hujifahamisha kwake katika maono na kuongea naye katika ndoto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mwenyezi Mungu akawaambia, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwepo nabii wa Mwenyezi Mungu miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 bwana akasema, “Sikilizeni maneno yangu: “Akiwapo nabii wa bwana miongoni mwenu, nitajifunua kwake kwa maono, nitanena naye katika ndoto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Kisha akawaambia, Sikilizeni basi maneno yangu; Akiwapo nabii kati yenu, Mimi, BWANA, nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndoto. Tazama sura |