Hesabu 11:7 - Swahili Revised Union Version7 Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola. Tazama sura |