Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 11:7 - Swahili Revised Union Version

7 Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mana ilikuwa kama punje za mtama, rangi yake ilikuwa kama ya bedoza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Na hiyo mana ilikuwa mfano wa chembe za mtama na rangi yake ilikuwa kama ya Bedola.

Tazama sura Nakili




Hesabu 11:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.


Akawaambia, Ndilo neno alilonena BWANA Kesho ni starehe takatifu, Sabato takatifu kwa BWANA; okeni mtakachooka, na kutokosa mtakachotokosa; na hicho kitakachowasalia jiwekeeni kilindwe hata asubuhi.


Na nyumba ya Israeli wakakiita jina lake Mana; nacho kilikuwa mfano wa chembe za mtama, nyeupe; na utamu wake ulikuwa kama utamu wa maandazi membamba yaliyoandaliwa kwa asali.


Watu wakazungukazunguka na kuikusanya, kisha wakaisaga kwa mawe ya kusagia, au kuitwanga katika vinu, kisha wakaitokosa vyunguni na kuandaa mikate; na ladha yake ilikuwa kama ladha ya mafuta mapya.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo