Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 10:31 - Swahili Revised Union Version

31 Naye akamwambia, Usituache, tafadhali; kwa kuwa wewe wajua jinsi tutakavyopiga kambi, nawe utakuwa kiongozi wetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Mose akamwambia, “Tafadhali usituache, maana wewe unajua mahali tunapoweza kupiga kambi jangwani, na unaweza kuwa kiongozi wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini Musa akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lakini Musa akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Naye akamwambia, Usituache, tafadhali; kwa kuwa wewe wajua jinsi tutakavyopiga kambi, nawe utakuwa kiongozi wetu.

Tazama sura Nakili




Hesabu 10:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nilikuwa macho kwa kipofu, Nilikuwa miguu kwa aliyechechemea.


Nitakufundisha na kukuonesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama.


Isitoshe, ukienda pamoja nasi, naam, mema yote ambayo BWANA atatutendea, nawe tutakutendea vivyo hivyo.


Mchukuliane mizigo na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo