Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:52 - Swahili Revised Union Version

52 Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika kambi yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo bendera yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Waisraeli wengine wote watapiga kambi zao makundimakundi, kila mtu katika kundi lake na chini ya bendera yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

52 Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika kambi yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo bendera yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:52
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Israeli watapanga kila mtu penye bendera yake mwenyewe, na alama za nyumba za baba zao; kuikabili hema ya kukutania ndiko watakakopanga kwa kuizunguka pande zote.


Hivyo ndivyo walivyofanya wana wa Israeli; kama BWANA alivyomwamuru Musa; ndivyo walivyojipanga kufuata bendera zao, na ndivyo walivyosafiri, kila mtu kwa jamaa zao, kwa nyumba za baba zao.


Balaamu akainua macho yake akawaona Israeli wamekaa kabila kwa kabila; Roho ya Mungu ikamjia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo