Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 1:49 - Swahili Revised Union Version

49 Hilo kabila la Lawi tu usilihesabu, wala usiitie hesabu yao katika wana wa Israeli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 “Usihesabu kabila la Lawi wala usiwafanyie sensa kati ya watu wa Israeli;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

49 Hilo kabila la Lawi tu usilihesabu, wala usiitie hesabu yao katika wana wa Israeli;

Tazama sura Nakili




Hesabu 1:49
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa BWANA alinena na Musa, na kumwambia,


Lakini Walawi hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli; kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Na hao waliohesabiwa kwao walikuwa elfu ishirini na tatu, kila mwanamume tangu huyo aliyepata umri wa mwezi mmoja, na zaidi; kwa kuwa hawakuhesabiwa katika wana wa Israeli, kwa sababu hawakupewa urithi katika wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo