Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hagai 2:8 - Swahili Revised Union Version

8 Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Fedha na dhahabu yote duniani ni mali yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 ‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 ‘Fedha ni mali yangu na dhahabu ni mali yangu,’ asema bwana Mwenye Nguvu Zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa majeshi.

Tazama sura Nakili




Hagai 2:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?


Nchi na vyote vilivyomo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.


Utukufu wa Lebanoni utakujia wewe, Mberoshi na mtidhari na mteashuri pamoja; Ili kupapamba mahali pangu patakatifu, Nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.


Badala ya shaba nitaleta dhahabu, Na badala; ya chuma nitaleta fedha, Na badala ya mti, shaba, Na badala ya mawe, chuma; Tena nitaifanya amani kuwa kama msimamizi wako, Na haki kuwa kiongozi wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo