Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 4:22 - Swahili Revised Union Version

22 Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara?

Tazama sura Nakili




Ezra 4:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, ijulikane kwa mfalme, ya kuwa mji huu ukijengwa, na kuta zake zikimalizika, hawatatoa kodi, wala ada, wala ushuru, na mwisho wake wafalme watapata hasara.


Sasa toeni amri kuwakomesha watu hawa kazi yao, mji huu usijengwe, hadi nitakapotoa amri.


Kisha nakala ya barua hiyo ya mfalme Artashasta iliposomwa mbele ya Rehumu, mtawala na Shimshai, mwandishi, na wenzao, wakaenda Yerusalemu upesi, kwa Wayahudi, wakawakomesha kwa nguvu na kwa kuwashurutisha.


na juu yao akaweka wakubwa watatu, na Danieli alikuwa mmoja wao; ili wakuu hawa watoe hesabu kwao, mfalme asipate hasara.


Basi Danieli huyo alipata sifa kuliko wakubwa na watawala, kwa kuwa roho bora ilikuwa ndani yake; naye mfalme akaazimu kumweka juu ya ufalme wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo