Ezra 4:22 - Swahili Revised Union Version22 Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara? Tazama sura |