Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 6:5 - Swahili Revised Union Version

5 Basi watumishi wa mfalme wakamwambia, Tazama, Hamani yupo, amesimama behewani. Mfalme akasema, Na aingie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, watumishi wakamjibu mfalme, “Hamani yuko uani.” Mfalme akasema, “Mkaribishe ndani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, watumishi wakamjibu mfalme, “Hamani yuko uani.” Mfalme akasema, “Mkaribishe ndani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, watumishi wakamjibu mfalme, “Hamani yuko uani.” Mfalme akasema, “Mkaribishe ndani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”

Tazama sura Nakili




Esta 6:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akasema, Yupo nani behewani? Ikawa Hamani alikuwa ameingia katika ua wa nje wa nyumba ya mfalme, aseme na mfalme, ili kumtundika Mordekai juu ya mti ule aliomwandalia.


Basi Hamani akaingia. Mfalme akamwambia, Afanyiwe nini yule ambaye mfalme apenda kumheshimu? Hamani akasema moyoni mwake, Ni nani ambaye mfalme apenda kumheshimu kuliko mimi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo