Esta 3:6 - Swahili Revised Union Version6 Akaona haitoshi kumtia mikono Mordekai peke yake; maana wamemjulisha kabila lake Mordekai; kwa hiyo Hamani alitaka kuwaangamiza Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika ufalme wote mzima wa Ahasuero, yaani, watu wake Mordekai. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Tena alipogundua kuwa Mordekai alikuwa Myahudi, aliamua kwamba kumwadhibu peke yake haitoshi. Basi akala njama kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa ukoo wa Mordekai, katika utawala wa mfalme Ahasuero. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Tena alipogundua kuwa Mordekai alikuwa Myahudi, aliamua kwamba kumwadhibu peke yake haitoshi. Basi akala njama kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa ukoo wa Mordekai, katika utawala wa mfalme Ahasuero. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Tena alipogundua kuwa Mordekai alikuwa Myahudi, aliamua kwamba kumwadhibu peke yake haitoshi. Basi akala njama kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa ukoo wa Mordekai, katika utawala wa mfalme Ahasuero. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Hata hivyo, baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Hata hivyo baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani, Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19376 Lakini akaona, ya kama haimpasi kumkamata Mordekai peke yake, kwani walimwambia nao ukoo wake Mordekai; kwa hiyo Hamani akatafuta njia ya kuwaangamiza Wayuda wote pia waliokuwa katika ufalme wote wa Ahaswerosi, kwa kuwa ukoo wake Mordekai. Tazama sura |