Danieli 5:1 - Swahili Revised Union Version1 Mfalme Belshaza, aliwafanyia wakuu wake elfu karamu kubwa akanywa divai mbele ya hao elfu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Siku moja mfalme Belshaza aliwaandalia karamu kubwa maelfu ya wakuu wake na kunywa divai pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Siku moja mfalme Belshaza aliwaandalia karamu kubwa maelfu ya wakuu wake na kunywa divai pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Siku moja mfalme Belshaza aliwaandalia karamu kubwa maelfu ya wakuu wake na kunywa divai pamoja nao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mfalme Belshaza aliandaa karamu kubwa kwa ajili ya wakuu wake elfu moja, na akanywa mvinyo pamoja nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19371 Mfalme Belsasari aliwafanyia wakuu wake elfu karamu kubwa, akanywa mvinyo mbele yao hao elfu. Tazama sura |