Danieli 2:7 - Swahili Revised Union Version7 Wakajibu mara ya pili, wakasema, Mfalme na atuambie sisi watumishi wake ile ndoto, nasi tutamwonesha tafsiri yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wao wakamjibu mara ya pili, “Mfalme, tusimulie ndoto hiyo, nasi watumishi wako tutakufasiria.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wao wakamjibu mara ya pili, “Mfalme, tusimulie ndoto hiyo, nasi watumishi wako tutakufasiria.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wao wakamjibu mara ya pili, “Mfalme, tusimulie ndoto hiyo, nasi watumishi wako tutakufasiria.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Wakajibu kwa mara nyingine, “Mfalme na awaambie watumishi wake ndoto yake, nasi tutaifasiri.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Wakajibu kwa mara nyingine, “Mfalme na awaambie watumishi wake ndoto yake, nasi tutaifasiri.” Tazama suraSwahili Roehl Bible 19377 Wakajibu mara ya pili wakisema: Mfalme na awaambie watumwa wake ndoto! ndipo, tutakapoieleza maana. Tazama sura |