Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Danieli 2:13 - Swahili Revised Union Version

13 Basi ile amri ikatangazwa, na hao wenye hekima walikuwa karibu na kuuawa; watu wakamtafuta Danieli na wenzake ili wauawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, tangazo likaenea kuwa wenye hekima wote wauawe; Danieli na wenzake, nao pia wakatafutwa ili wauawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

Tazama sura Nakili

Swahili Roehl Bible 1937

13 Amri hiyo ya kuwaua wajuzi ilipokwisha kutoka, wakamtafuta naye Danieli na wenziwe, wauawe.

Tazama sura Nakili




Danieli 2:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Watawala waovu wanaweza kushirikiana nawe, Wale watungao madhara kwa njia ya sheria?


Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu;


Basi Danieli akaenda kwa Arioko, aliyewekwa na mfalme kuwaangamiza wenye hekima wa Babeli; alikwenda akamwambia hivi, Usiwaangamize wenye hekima wa Babeli; niingize mimi mbele ya mfalme, nami nitamwonesha mfalme ile tafsiri.


na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo