Danieli 2:11 - Swahili Revised Union Version11 Ni neno la ajabu, hili analolitaka mfalme, wala hapana mwingine awezaye kumwonesha mfalme neno hilo, ila miungu, wasio na kikao pamoja na wenye mwili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Jambo unalouliza, ee mfalme, ni gumu. Hakuna mtu anayeweza kukufunulia isipokuwa miungu peke yake ambayo haikai miongoni mwa wanaadamu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Jambo unalouliza, ee mfalme, ni gumu. Hakuna mtu anayeweza kukufunulia isipokuwa miungu peke yake ambayo haikai miongoni mwa wanaadamu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Jambo unalouliza, ee mfalme, ni gumu. Hakuna mtu anayeweza kukufunulia isipokuwa miungu peke yake ambayo haikai miongoni mwa wanaadamu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Anachouliza mfalme ni kigumu mno. Hakuna yeyote awezaye kumfunulia mfalme isipokuwa miungu, nao hawaishi miongoni mwa wanadamu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Anachouliza mfalme ni kigumu mno. Hakuna yeyote awezaye kumfunulia mfalme isipokuwa miungu, nao hawaishi miongoni mwa wanadamu.” Tazama suraSwahili Roehl Bible 193711 Jambo hili, mfalme analolitaka, ni zito, tena hakuna mtu awezaye kulieleza mbele yake mfalme, ni miungu tu, lakini haikai kwetu sisi tulio wenye miili ya kimtu. Tazama sura |