Danieli 11:34 - Swahili Revised Union Version34 Basi watakapoanguka, watasaidiwa kwa msaada kidogo; lakini wengi wataambatana nao kwa maneno ya kujipendekeza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Wakati wanapouawa, watapata msaada kidogo, na wengi wanaojiunga nao, watafanya hivyo kwa unafiki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi wasio waaminifu wataungana nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao. Tazama suraSwahili Roehl Bible 193734 Watakapoumizwa hivyo watasaidiwa kidogo tu, kwani wengi wataandamana nao kwa kujitendekeza tu. Tazama sura |