Amosi 9:12 - Swahili Revised Union Version12 wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yaitwayo kwa jina langu, asema BWANA, afanyaye hayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Nao Waisraeli watamiliki mabaki ya Edomu na mataifa yote yaliyokuwa yangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema, na nitafanya hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Nao Waisraeli watamiliki mabaki ya Edomu na mataifa yote yaliyokuwa yangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema, na nitafanya hivyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Nao Waisraeli watamiliki mabaki ya Edomu na mataifa yote yaliyokuwa yangu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema, na nitafanya hivyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,” asema Mwenyezi Mungu ambaye atafanya mambo haya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,” asema bwana ambaye atafanya mambo haya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yaitwayo kwa jina langu, asema BWANA, afanyaye hayo. Tazama sura |