Amosi 5:27 - Swahili Revised Union Version27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni, mwende mbali kupita Dameski, asema BWANA, ambaye jina lake ni Mungu wa majeshi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Kwa hiyo nitawapeleka uhamishoni, mbali kuliko Damasko! Hayo amesema Mwenyezi-Mungu, ambaye jina lake ni Mungu wa Majeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Kwa hiyo nitawapeleka uhamishoni, mbali kuliko Damasko! Hayo amesema Mwenyezi-Mungu, ambaye jina lake ni Mungu wa Majeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Kwa hiyo nitawapeleka uhamishoni, mbali kuliko Damasko!” Hayo amesema Mwenyezi-Mungu, ambaye jina lake ni Mungu wa Majeshi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,” asema Mwenyezi Mungu, ambaye jina lake ni Mungu wa majeshi ya mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,” asema bwana, ambaye jina lake ni Mungu Mwenye Nguvu Zote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni, mwende mbali kupita Dameski, asema BWANA, ambaye jina lake ni Mungu wa majeshi. Tazama sura |