Amosi 5:18 - Swahili Revised Union Version18 Ole wenu! Ninyi mnaoitamani siku ya BWANA; kwa nini kuitamani siku ya BWANA? Ni giza, wala si nuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Ole wenu nyinyi mnaoingojea kwa hamu siku ya Mwenyezi-Mungu! Kwa nini mnaitaka sana siku hiyo? Siku hiyo, itakuwa siku ya giza na sio ya mwanga! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Ole wenu nyinyi mnaoingojea kwa hamu siku ya Mwenyezi-Mungu! Kwa nini mnaitaka sana siku hiyo? Siku hiyo, itakuwa siku ya giza na sio ya mwanga! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Ole wenu nyinyi mnaoingojea kwa hamu siku ya Mwenyezi-Mungu! Kwa nini mnaitaka sana siku hiyo? Siku hiyo, itakuwa siku ya giza na sio ya mwanga! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ole wenu ninyi mnaoitamani siku ya Mwenyezi Mungu! Kwa nini mnaitamani siku ya Mwenyezi Mungu? Siku hiyo itakuwa giza, si nuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ole wenu ninyi mnaoitamani siku ya bwana! Kwa nini mnaitamani siku ya bwana? Siku hiyo itakuwa giza, si nuru. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Ole wenu! Ninyi mnaoitamani siku ya BWANA; kwa nini kuitamani siku ya BWANA? Ni giza, wala si nuru. Tazama sura |