Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 4:4 - Swahili Revised Union Version

4 Njooni Betheli, mkakose; njoni Gilgali, mkaongeze makosa; kaleteni dhabihu zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 “Enyi Waisraeli, nendeni basi huko Betheli mkaniasi! Nendeni Gilgali mkalimbikize makosa yenu! Toeni sadaka zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 “Enyi Waisraeli, nendeni basi huko Betheli mkaniasi! Nendeni Gilgali mkalimbikize makosa yenu! Toeni sadaka zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 “Enyi Waisraeli, nendeni basi huko Betheli mkaniasi! Nendeni Gilgali mkalimbikize makosa yenu! Toeni sadaka zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Nendeni Betheli mkatende dhambi; nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi. Leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila mwaka wa tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 “Nendeni Betheli mkatende dhambi; nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi. Leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila mwaka wa tatu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Njooni Betheli, mkakose; njoni Gilgali, mkaongeze makosa; kaleteni dhabihu zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu;

Tazama sura Nakili




Amosi 4:4
16 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


Na katika habari zenu, enyi nyumba ya Israeli, Bwana MUNGU asema hivi, Nendeni, mkavitumikie vinyago vyenu kila mmoja wenu; na wakati wa baadaye pia, kama hamtaki kunisikiliza; lakini jina langu takatifu hamtalitia unajisi tena, kwa matoleo yenu, na kwa vinyago wenu.


Katika Gileadi kuna uovu? Nao wamekuwa ubatili tu; huko Gilgali hutoa dhabihu za ng'ombe; naam, madhabahu zao zimekuwa kama chungu katika matuta ya mashamba.


Ingawa wewe, Israeli, unafanya uzinzi, lakini asiasi Yuda; nanyi msiende Gilgali wala msipande mpaka Beth-aveni, wala msiape mkisema, Aishivyo BWANA.


Uovu wao wote u katika Gilgali; maana huko niliwachukia; kwa sababu ya uovu wa matendo yao nitawafukuza watoke katika nyumba yangu; sitawapenda tena; wakuu wao wote ni waasi.


Kwani katika siku ile nitakapompatiliza Israeli makosa yake, nitazipatiliza pia madhabahu za Betheli, na pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali, na kuanguka chini.


bali msitafute Betheli, wala msiingie Gilgali, wala msipite kwenda Beer-sheba; kwani Gilgali hakika yake itakwenda utumwani, na Betheli itakuwa ubatili.


Kijazeni basi kipimo cha baba zenu.


Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.


Akaja mara ya tatu, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike; yatosha, saa imekuja; tazama, Mwana wa Adamu anatiwa mikononi mwao wenye dhambi.


Na sikuzote, usiku na mchana, alikuwako makaburini na milimani, akipiga kelele na kujikatakata kwa mawe.


Utakapokwisha kutoa zaka, katika zaka zote za mavuno yako mwaka wa tatu, ambao ndio mwaka wa kutolea zaka, umpe zile zaka Mlawi, na mgeni, na yatima, na mjane, wapate kula ndani ya malango yako na kushiba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo