2 Wakorintho 10:3 - Swahili Revised Union Version3 Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili; Tazama sura |