2 Wafalme 8:11 - Swahili Revised Union Version11 Akamkazia macho hata akatahayari; na yule mtu wa Mungu akalia machozi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Ndipo Elisha akamkazia macho akiwa na hofu hata Hazaeli akashikwa na wasiwasi. Ghafla, Elisha mtu wa Mungu, akaanza kulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Ndipo Elisha akamkazia macho akiwa na hofu hata Hazaeli akashikwa na wasiwasi. Ghafla, Elisha mtu wa Mungu, akaanza kulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Ndipo Elisha akamkazia macho akiwa na hofu hata Hazaeli akashikwa na wasiwasi. Ghafla, Elisha mtu wa Mungu, akaanza kulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Al-Yasa akamkazia Hazaeli macho kwa nguvu hata akaona aibu. Kisha mtu wa Mungu akaanza kulia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Al-Yasa akamkazia Hazaeli macho kwa nguvu mpaka akaona aibu. Kisha mtu wa Mungu akaanza kulia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Akamkazia macho hata akatahayari; na yule mtu wa Mungu akalia machozi. Tazama sura |