2 Wafalme 8:10 - Swahili Revised Union Version10 Elisha akamwambia, Nenda, ukamwambie, Bila shaka utapona; lakini BWANA amenionesha ya kwamba bila shaka atakufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Basi Elisha akamjibu, “Atapona; lakini Mwenyezi-Mungu amenionesha kwamba atakufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Basi Elisha akamjibu, “Atapona; lakini Mwenyezi-Mungu amenionesha kwamba atakufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Basi Elisha akamjibu, “Atapona; lakini Mwenyezi-Mungu amenionesha kwamba atakufa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Al-Yasa akajibu, “Nenda ukamwambie, ‘Hakika utapona’; lakini Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba kweli atakufa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Al-Yasa akajibu, “Nenda ukamwambie, ‘Hakika utapona’; lakini bwana amenifunulia kwamba kweli atakufa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Elisha akamwambia, Nenda, ukamwambie, Bila shaka utapona; lakini BWANA amenionesha ya kwamba bila shaka atakufa. Tazama sura |