Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Ikawa siku moja akafika huko, akaingia katika chumba kile akalala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Siku moja Elisha akaja huko na kuingia chumbani mwake ili apumzike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Siku moja Al-Yasa alipofika, akapanda chumbani kwake na kulala humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Siku moja Al-Yasa alipofika, akapanda chumbani kwake na kulala humo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Ikawa siku moja akafika huko, akaingia katika chumba kile akalala.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 4:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nakuomba, tumfanyie chumba kidogo ukutani; na ndani yake tumwekee kitanda, na meza, na kiti, na kinara cha taa; na itakuwa, atujiapo, ataingia humo.


Akamwambia Gehazi mtumishi wake, Mwite yule Mshunami. Naye alipokwisha kuitwa, akasimama mbele yake.


Hata ikawa siku moja, Elisha alikwenda Shunemu; na huko kulikuwa na mwanamke mmoja mwenye cheo; naye akamshurutisha aje ale chakula. Ikawa kila alipopita njia ile, huingia kula chakula.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo