Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 4:10 - Swahili Revised Union Version

10 Nakuomba, tumfanyie chumba kidogo ukutani; na ndani yake tumwekee kitanda, na meza, na kiti, na kinara cha taa; na itakuwa, atujiapo, ataingia humo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mbona basi tusimjengee chumba na huko tumwekee kitanda, meza, kiti na taa, ili akitumie kila anapotutembelea?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mbona basi tusimjengee chumba na huko tumwekee kitanda, meza, kiti na taa, ili akitumie kila anapotutembelea?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mbona basi tusimjengee chumba na huko tumwekee kitanda, meza, kiti na taa, ili akitumie kila anapotutembelea?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Tutengeneze chumba kidogo juu darini na tuweke ndani yake kitanda na meza, kiti na taa kwa ajili yake. Kisha anaweza kukaa humo kila mara akija kwetu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Tutengeneze chumba kidogo juu darini na tuweke ndani yake kitanda na meza, kiti na taa kwa ajili yake. Kisha anaweza kukaa humo kila mara akija kwetu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Nakuomba, tumfanyie chumba kidogo ukutani; na ndani yake tumwekee kitanda, na meza, na kiti, na kinara cha taa; na itakuwa, atujiapo, ataingia humo.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 4:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Nipe mwanao. Akamtoa katika kifua chake, akamchukua juu chumbani mle alimokaa mwenyewe, akamlaza kitandani pake.


Ikawa siku moja akafika huko, akaingia katika chumba kile akalala.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


Kwa kuwa yeyote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.


na Yoana mkewe Kuza, wakili wake Herode, na Susana, na wengine wengi, waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.


kwa mahitaji ya watakatifu, mkifuata ukarimu; katika kukaribisha wageni mkijitahidi.


tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri;


Msisahau kuwafadhili wageni; maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo