Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 3:5 - Swahili Revised Union Version

5 Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 3:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya kufa kwake Ahabu, Moabu wakawaasi Israeli.


Elisha akafa, nao wakamzika. Basi vikosi vya Wamoabi wakaingia katika nchi mwanzo wa mwaka.


Akatoka wakati ule ule mfalme Yoramu katika Samaria, akawahesabu Israeli wote.


Zamani zake, Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda, wakajifanyia mfalme.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo