2 Wafalme 3:12 - Swahili Revised Union Version12 Yehoshafati akasema, Neno la BWANA analo huyu. Basi mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, na mfalme wa Edomu, wakamshukia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Yehoshafati akasema, “Huyo ni nabii wa kweli.” Kisha wafalme hao watatu wakamwendea Elisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Yehoshafati akasema, “Huyo ni nabii wa kweli.” Kisha wafalme hao watatu wakamwendea Elisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Yehoshafati akasema, “Huyo ni nabii wa kweli.” Kisha wafalme hao watatu wakamwendea Elisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Yehoshafati akasema, “Neno la Mwenyezi Mungu liko pamoja naye.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli na Yehoshafati pamoja na mfalme wa Edomu wakamwendea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Yehoshafati akasema, “Neno la bwana liko pamoja naye.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli na Yehoshafati pamoja na mfalme wa Edomu wakamwendea. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Yehoshafati akasema, Neno la BWANA analo huyu. Basi mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, na mfalme wa Edomu, wakamshukia. Tazama sura |