2 Wafalme 24:10 - Swahili Revised Union Version10 Wakati ule watumishi wa Nebukadneza mfalme wa Babeli wakakwea kwenda Yerusalemu, na mji ukahusuriwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Wakati huo jeshi la Nebukadneza mfalme wa Babuloni, lilishambulia mji wa Yerusalemu na kuuzingira. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Wakati huo jeshi la Nebukadneza mfalme wa Babuloni, lilishambulia mji wa Yerusalemu na kuuzingira. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Wakati huo jeshi la Nebukadneza mfalme wa Babuloni, lilishambulia mji wa Yerusalemu na kuuzingira. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja kushambulia Yerusalemu, nao wakauzingira kwa jeshi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Wakati ule watumishi wa Nebukadneza mfalme wa Babeli wakakwea kwenda Yerusalemu, na mji ukahusuriwa. Tazama sura |