Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 19:18 - Swahili Revised Union Version

18 na kuitupa miungu yao motoni; kwa maana haikuwa miungu, bali ni kazi ya mikono ya wanadamu; ilikuwa miti na mawe tu, ndiyo sababu wakaiharibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Walitupa miungu yao motoni kwa sababu haikuwa miungu ya kweli, bali sanamu za miti na mawe zilizochongwa na mikono ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Walitupa miungu yao motoni kwa sababu haikuwa miungu ya kweli, bali sanamu za miti na mawe zilizochongwa na mikono ya watu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Walitupa miungu yao motoni kwa sababu haikuwa miungu ya kweli, bali sanamu za miti na mawe zilizochongwa na mikono ya watu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 19:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakaziacha sanamu zao huko, na Daudi na watu wake wakaziondolea mbali.


Wakazitoa nguzo zilizokuwamo nyumbani mwa Baali, wakaziteketeza.


Ni kweli, BWANA, wafalme wa Ashuru wamewaharibu mataifa na nchi zao,


Kama vile mkono wangu ulivyofikia falme za sanamu, ambazo sanamu zao za kuchongwa zilikuwa bora kuliko sanamu za Yerusalemu na za Samaria;


Je! Mwanadamu ajifanyie miungu, wasio miungu?


Basi, kwa kuwa sisi tu wazawa wa Mungu, haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe, vitu vilivyochongwa kwa ustadi na akili za wanadamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo