2 Samueli 9:5 - Swahili Revised Union Version5 Basi mfalme Daudi akatuma watu, na kumwondoa katika nyumba ya Makiri, mwana wa Amieli, katika Lo-debari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, mfalme Daudi akatuma watu, naye akaletwa kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-debari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, mfalme Daudi akatuma watu, naye akaletwa kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-debari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, mfalme Daudi akatuma watu, naye akaletwa kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-debari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani mwa Makiri mwana wa Amieli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Basi mfalme Daudi akatuma watu, na kumwondoa katika nyumba ya Makiri, mwana wa Amieli, katika Lo-debari. Tazama sura |