Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 7:28 - Swahili Revised Union Version

28 Na sasa, Ee Bwana MUNGU, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidia mtumishi wako jambo hili jema

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Sasa, ee Bwana Mungu, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ni kweli na umeniahidi mimi mtumishi wako jambo hili jema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Sasa, ee Bwana Mungu, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ni kweli na umeniahidi mimi mtumishi wako jambo hili jema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Sasa, ee Bwana Mungu, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ni kweli na umeniahidi mimi mtumishi wako jambo hili jema;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ee Bwana Mungu Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ee bwana Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Na sasa, Ee Bwana MUNGU, wewe ndiwe Mungu, na maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidia mtumishi wako jambo hili jema

Tazama sura Nakili




2 Samueli 7:28
4 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akapita mbele yake, akatangaza, BWANA, BWANA, Mungu mwingi wa huruma, mwenye fadhili, si mwepesi wa hasira, mwingi wa rehema na kweli;


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.


katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo