Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 7:17 - Swahili Revised Union Version

17 Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Nathani alimweleza Daudi kila kitu ambacho alioneshwa katika maono hayo na Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 7:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitaimarishwa milele.


Ndipo Daudi, mfalme, akaingia, akaketi mbele za BWANA, akasema, Mimi ni nani, Bwana MUNGU, na nyumba yangu ni nini, hata umenileta hadi hapa?


mfalme akamwambia Nathani, nabii, Angalia sasa, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi, bali sanduku la Mungu linakaa ndani ya mapazia.


Kwa maneno hayo yote, na kwa maono hayo yote, ndivyo Nathani alivyonena na Daudi.


ya kuwa sikujiepusha katika kuwatangazia neno lolote liwezalo kuwafaa bali niliwafundisha waziwazi, na nyumba kwa nyumba,


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo Maandiko;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo