2 Samueli 6:11 - Swahili Revised Union Version11 Sanduku la BWANA akalitia katika nyumba ya Obed-edomu, Mgiti, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akambariki Obed-edomu, na nyumba yake yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Sanduku hilo la Mwenyezi-Mungu lilikaa nyumbani kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu; naye Mwenyezi-Mungu akambariki Obed-edomu pamoja na jamaa yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Sanduku hilo la Mwenyezi-Mungu lilikaa nyumbani kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu; naye Mwenyezi-Mungu akambariki Obed-edomu pamoja na jamaa yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Sanduku hilo la Mwenyezi-Mungu lilikaa nyumbani kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu; naye Mwenyezi-Mungu akambariki Obed-edomu pamoja na jamaa yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Sanduku la Mwenyezi Mungu likakaa katika nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti, kwa miezi mitatu, naye Mwenyezi Mungu akambariki pamoja na nyumba yake yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Sanduku la bwana likabaki katika nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti, kwa miezi mitatu, naye bwana akambariki pamoja na nyumba yake yote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Sanduku la BWANA akalitia katika nyumba ya Obed-edomu, Mgiti, muda wa miezi mitatu; naye BWANA akambariki Obed-edomu, na nyumba yake yote. Tazama sura |