Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 3:33 - Swahili Revised Union Version

33 Ndipo mfalme akamwomboleza Abneri, akasema, Ilimpasaje Abneri kufa afavyo mpumbavu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Mfalme alimwombolezea Abneri akisema, “Je, ilikuwaje Abneri akafa kama mpumbavu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Mfalme alimwombolezea Abneri akisema, “Je, ilikuwaje Abneri akafa kama mpumbavu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Mfalme alimwombolezea Abneri akisema, “Je, ilikuwaje Abneri akafa kama mpumbavu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama anavyokufa mpumbavu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Ndipo mfalme akamwomboleza Abneri, akasema, Ilimpasaje Abneri kufa afavyo mpumbavu?

Tazama sura Nakili




2 Samueli 3:33
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwomboleza Sauli, na Yonathani, mwanawe, maombolezo haya;


Mikono yako haikufungwa, Wala miguu yako haikutiwa pingu; Aangukavyo mtu mbele ya wana wa uovu, ndivyo ulivyoanguka. Na watu wote wakaongeza kumlilia.


Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote wanaume kwa wawanawake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hadi leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika Maombolezo.


Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake, Na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.


Kama kware akusanyaye makinda asiyoyaangua, ndivyo alivyo mtu ajipatiaye mali, wala si kwa haki, katikati ya maisha yake itamtoka, na mwisho wake atakuwa mpumbavu.


Hayo ndiyo maombolezo watakayoimba; binti za mataifa watayaimba; kwa hayo wataomboleza kwa ajili ya Misri, na kwa ajili ya watu wake umati wote, asema Bwana MUNGU.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo