2 Samueli 23:24 - Swahili Revised Union Version24 Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmojawapo wa wale thelathini; na Elhanani, mwana wa Dodo, wa Bethlehemu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmoja wa mashujaa thelathini. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elhanani, mwana wa Dodo wa Bethlehemu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmoja wa mashujaa thelathini. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elhanani, mwana wa Dodo wa Bethlehemu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmoja wa mashujaa thelathini. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elhanani, mwana wa Dodo wa Bethlehemu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Miongoni mwa wale Thelathini walikuwa: Asaheli ndugu wa Yoabu; Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo: Asaheli ndugu wa Yoabu; Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu; Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmojawapo wa wale thelathini; na Elhanani, mwana wa Dodo, wa Bethlehemu; Tazama sura |