Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 23:12 - Swahili Revised Union Version

12 ila huyo alisimama katikati ya konde lile, akalipigania, akawaua Wafilisti; naye BWANA akafanya wokovu mkuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini alisimama imara katikati ya shamba hilo ili kulitetea, naye akawaua Wafilisti. Mwenyezi-Mungu alijipatia ushindi mkubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalipigania na kuwaua Wafilisti, naye Mwenyezi Mungu akawapa ushindi mkubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye bwana akawapa ushindi mkubwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 ila huyo alisimama katikati ya konde lile, akalipigania, akawaua Wafilisti; naye BWANA akafanya wokovu mkuu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 23:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

huyo aliinuka, akawapiga Wafilisti hata mkono wake ukachoka, na mkono wake ukaambatana na upanga; naye BWANA akafanya wokovu mkuu siku ile; nao watu wakarudi nyuma yake ili kuteka nyara tu.


Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pasdamimu; ndiko Wafilisti walikokusanyika vitani, palipokuwa na shamba lililojaa shayiri; na hao watu wakakimbia mbele ya Wafilisti.


Wokovu ni wa BWANA; Baraka yako na iwe juu ya watu wako.


Wewe kwa mkono wako uliwafukuza mataifa, Ukawakalisha wao. Wewe uliwatesa watu wa nchi, Ukawafanikisha wao.


Farasi huwekwa tayari kwa siku ya vita; Lakini BWANA ndiye aletaye wokovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo