Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:17 - Swahili Revised Union Version

17 Alipeleka kutoka juu, akanishika; Akanitoa katika maji mengi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 “Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 “Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 “Mungu alinyosha mkono wake toka juu, akanichukua, kutoka kwenye maji mengi alininyanyua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika; alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Alipeleka kutoka juu, akanishika; Akanitoa katika maji mengi;

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akaniokoa na adui yangu mwenye nguvu, Na wale walionichukia; Maana walikuwa na nguvu kuliko mimi.


Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


Uinyoshe mikono yako toka juu, uniponye, Unitoe katika maji mengi, kutoka kwa mkono wa wageni,


Alinishukia kutoka juu, akanichukua, Na kunitoa katika maji mengi.


Kwa hiyo, hebu kila akuaminiye Akuombe awapo katika dhiki. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye.


Mtoto akakua, naye akamleta kwa binti Farao, akawa mwanawe. Akamwita jina lake Musa.


Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Maji mengi yalipita juu ya kichwa changu, Nikasema, Nimekatiliwa mbali.


Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo