Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:15 - Swahili Revised Union Version

15 Akapiga mishale, akawatawanya; Umeme, naye akawatimua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Aliwalenga adui mishale, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Aliwalenga adui mishale, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Aliwalenga adui mishale, akawatawanya, alirusha umeme, akawatimua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Aliipiga mishale na kutawanya adui, akawafukuza kwa umeme mkubwa wa radi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Aliipiga mishale na kutawanya adui, umeme wa radi na kuwafukuza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Akapiga mishale, akawatawanya; Umeme, naye akawatimua.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.


Mishale yako ni mikali, katika mioyo ya adui za mfalme; Watu huanguka chini yako.


Jua na mwezi vikasimama makaoni mwao; Mbele ya nuru ya mishale yako ilipotapakaa, Mbele ya mwangaza wa mkuki wako umeremetao.


Nitaweka madhara juu yao chungu chungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata ikaishe;


BWANA naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni, akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni, na kuwapiga hadi kufikia Azeka, tena hadi kufikia Makeda.


Hata Samweli alipokuwa akiitoa hiyo sadaka ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli; lakini BWANA akapiga ngurumo, mshindo mkubwa sana, juu ya Wafilisti siku ile, akawafadhaisha; nao wakaangamizwa mbele ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo