Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 21:11 - Swahili Revised Union Version

11 Kisha Daudi akaambiwa hayo aliyoyafanya huyo Rispa binti Aya, suria wa Sauli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Daudi aliposikia yale aliyofanya Rispa binti Aya, suria wa Shauli,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Kisha Daudi akaambiwa hayo aliyoyafanya huyo Rispa binti Aya, suria wa Sauli.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 21:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi watu wa Yuda wakaenda, wakamtia Daudi mafuta huko, awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi wakasema, Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.


Naye Rispa, binti Aya, akatwaa nguo ya magunia akajitandikia mwambani, tangu mwanzo wa mavuno hadi waliponyeshewa mvua toka mbinguni; wala hakuacha ndege wa angani kukaa juu yao mchana, wala wanyama wa mwitu usiku.


Akaenda Daudi, akaitwaa mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe mikononi mwa watu wa Yabesh-gileadi; waliyoiiba katika njia ya Beth-sheani, hapo Wafilisti walipowatungika, katika siku hiyo waliyomwua Sauli huko Gilboa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo