Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 20:18 - Swahili Revised Union Version

18 Kisha akanena, akisema, Watu hunena zamani za kale, wakisema, Wasikose kuuliza huko Abeli; ndivyo walivyoleta suluhu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Huyo mwanamke akamwambia, “Hapo kale watu walikuwa wakisema, ‘Waacheni watake shauri kutoka mji wa Abeli’. Ndivyo watu walivyoweza kutatua matatizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Huyo mwanamke akamwambia, “Hapo kale watu walikuwa wakisema, ‘Waacheni watake shauri kutoka mji wa Abeli’. Ndivyo watu walivyoweza kutatua matatizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Huyo mwanamke akamwambia, “Hapo kale watu walikuwa wakisema, ‘Waacheni watake shauri kutoka mji wa Abeli’. Ndivyo watu walivyoweza kutatua matatizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Kisha akanena, akisema, Watu hunena tangu zamani za kale, wakisema, Wasikose kuuliza huko Abeli; ndivyo walivyoleta suluhu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 20:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi akamkaribia; na yule mwanamke akasema, Ndiwe Yoabu? Akajibu, Ndimi. Ndipo akamwambia Sikia maneno ya mjakazi wako. Akajibu, Mimi nasikia.


Mimi ni mmoja wa hao wenye amani, walio waaminifu katika Israeli; wewe unataka kuuharibu mji ulio kama mama wa Israeli; mbona unataka kuumeza urithi wa BWANA?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo