Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 19:15 - Swahili Revised Union Version

15 Hivyo mfalme akarudi, akafika Yordani. Kisha watu wa Yuda wakaja Gilgali kumlaki mfalme, na kumvusha mfalme Yordani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, mfalme akaja mto Yordani na watu wote wa Yuda wakaja mpaka Gilgali kumlaki mfalme na kumvusha mtoni Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, mfalme akaja mto Yordani na watu wote wa Yuda wakaja mpaka Gilgali kumlaki mfalme na kumvusha mtoni Yordani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, mfalme akaja mto Yordani na watu wote wa Yuda wakaja mpaka Gilgali kumlaki mfalme na kumvusha mtoni Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani. Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani. Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja mpaka Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Hivyo mfalme akarudi, akafika Yordani. Kisha watu wa Yuda wakaja Gilgali kumlaki mfalme, na kumvusha mfalme Yordani.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 19:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo aibu ya Misri iondoke juu yenu. Kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Gilgali, hata hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo