2 Samueli 16:15 - Swahili Revised Union Version15 Absalomu, na hao watu wote wa Israeli, wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Wakati huo, Absalomu na watu wote wa Israeli wakaenda mjini Yerusalemu na Ahithofeli pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Wakati huo, Absalomu na watu wote wa Israeli wakaenda mjini Yerusalemu na Ahithofeli pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Wakati huo, Absalomu na watu wote wa Israeli wakaenda mjini Yerusalemu na Ahithofeli pamoja nao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Wakati huo, Absalomu pamoja na wanaume wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Wakati huo, Absalomu pamoja na watu wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Absalomu, na hao watu wote wa Israeli, wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye. Tazama sura |