2 Samueli 16:14 - Swahili Revised Union Version14 Naye mfalme na watu wake wote waliokuwa pamoja naye wakafika, wakiwa wamechoka sana; naye akajiburudisha huko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakafika mtoni wakiwa wamechoka. Basi wakapumzika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakafika mtoni wakiwa wamechoka. Basi wakapumzika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kisha mfalme pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakafika mtoni wakiwa wamechoka. Basi wakapumzika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Naye mfalme na watu wake wote waliokuwa pamoja naye wakafika, wakiwa wamechoka sana; naye akajiburudisha huko. Tazama sura |