Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 15:28 - Swahili Revised Union Version

28 Angalia, mimi nitangoja penye vivuko vya jangwani, hata litakaponifikia neno la kunipasha habari kutoka kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini nitakuwa nikingojea penye vivuko huku nyikani, mpaka nitakapopata habari kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini nitakuwa nikingojea penye vivuko huku nyikani, mpaka nitakapopata habari kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini nitakuwa nikingojea penye vivuko huku nyikani, mpaka nitakapopata habari kutoka kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Nitasubiri kwenye vivuko katika jangwa hadi neno litakapotoka kwenu kuniarifu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Nitasubiri kwenye vivuko katika jangwa mpaka neno litakapotoka kwenu kuniarifu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Angalia, mimi nitangoja penye vivuko vya jangwani, hata litakaponifikia neno la kunipasha habari kutoka kwenu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 15:28
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na nchi yote ikalia kwa sauti kuu, nao watu wote wakavuka, mfalme mwenyewe naye akavuka kile kijito Kidroni, na hao watu wote wakavuka, wakielekea njia ya nyika.


Basi Sadoki na Abiathari wakalichukua sanduku la Mungu, wakalirudisha Yerusalemu; wakakaa huko.


Mfalme akamwambia Siba, Ni za nini hizi? Siba akasema, Punda ni za jamaa ya mfalme wazipande; na mkate na matunda ni chakula cha hawa vijana; na divai ni kwamba wanywe hao wazimiao nyikani.


Zaidi ya hayo Ahithofeli akamwambia Absalomu, Niache nichague watu elfu kumi na mbili, nami nitaondoka na kumfuatia Daudi usiku huu;


Basi sasa pelekeni habari upesi, kamwambieni Daudi ya kwamba, Usilale usiku huu karibu na vivuko vya jangwani; bali usikose kuvuka; asije akamezwa mfalme, na watu wote walio pamoja naye.


Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali; nao wakala sikukuu ya Pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi, jioni, katika nchi tambarare za Yeriko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo