2 Samueli 15:1 - Swahili Revised Union Version1 Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake. Tazama sura |