Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 14:33 - Swahili Revised Union Version

33 Basi Yoabu akamwendea mfalme, akamwambia hayo, naye alipomwita Absalomu, yeye akaja kwa mfalme, akainama kifudifudi hadi chini mbele ya mfalme; naye mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kwa hiyo Yoabu akaenda na kumweleza mfalme maneno hayo yote, naye akamwita Absalomu, naye akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme. Na mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kwa hiyo Yoabu akaenda na kumweleza mfalme maneno hayo yote, naye akamwita Absalomu, naye akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme. Na mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kwa hiyo Yoabu akaenda na kumweleza mfalme maneno hayo yote, naye akamwita Absalomu, naye akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme. Na mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani, akasujudu, uso wake ukigusa chini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani akasujudu uso wake mpaka ardhini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Basi Yoabu akamwendea mfalme, akamwambia hayo, naye alipomwita Absalomu, yeye akaja kwa mfalme, akainama kifudifudi hadi chini mbele ya mfalme; naye mfalme akambusu Absalomu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 14:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka, baba yake, akamwambia, Njoo karibu sasa, ukanibusu, mwanangu.


Esau akaja mbio kumlaki, akamkumbatia, na kumwangukia shingoni, akambusu; nao wakalia.


Akawabusu ndugu zake wote, akalia nao, baada ya hayo, nduguze wakazungumza naye.


Tena ikawa hapo alipokaribia mtu yeyote kumsujudia, hunyosha mkono wake, na kumshika, na kumbusu.


Basi watu wote wakavuka Yordani, naye mfalme akavuka; kisha mfalme akambusu Barzilai, akambariki; naye akarudi nyumbani kwake.


Basi mfalme Sulemani akatuma watu, wakamteremsha toka madhabahuni. Naye akaja, akamwinamia mfalme Sulemani; naye Sulemani akamwambia, Nenda nyumbani kwako.


Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa bado mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo