Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 14:28 - Swahili Revised Union Version

28 Absalomu akakaa miaka miwili mizima katika Yerusalemu; asimwone uso mfalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Basi, Absalomu aliishi mjini Yerusalemu kwa muda wa miaka miwili mizima bila kumwona mfalme Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Basi, Absalomu aliishi mjini Yerusalemu kwa muda wa miaka miwili mizima bila kumwona mfalme Daudi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Basi, Absalomu aliishi mjini Yerusalemu kwa muda wa miaka miwili mizima bila kumwona mfalme Daudi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Absalomu akakaa miaka miwili mizima katika Yerusalemu; asimwone uso mfalme.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 14:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akasema, Sivyo; nakuomba kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, Hakika, kuona uso wako ni kama kuuona uso wa Mungu – maana umenipokea kwa kibali kama chake.


Yuda akamwambia akisema, Yule mtu alituagizia sana akisema, Hamtaniona uso wangu, ndugu yenu asipokuwa pamoja nanyi.


Naye mfalme akasema, Ageukie nyumbani kwake, asinione uso wangu. Basi Absalomu akarejea nyumbani kwake, asimwone uso mfalme.


Ndipo Absalomu akatuma Yoabu aitwe, amtume kwa mfalme, lakini yeye akakataa kumjia; akatuma tena mara ya pili, lakini akakataa kuja.


Basi mfalme Sulemani akatuma watu, wakamteremsha toka madhabahuni. Naye akaja, akamwinamia mfalme Sulemani; naye Sulemani akamwambia, Nenda nyumbani kwako.


Tena, mfalme akatuma watu akamwita Shimei, akamwambia, Ujijengee nyumba humu Yerusalemu, ukae ndani yake, wala usitoke humo kwenda mahali popote.


Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [


Tufuate:

Matangazo


Matangazo