2 Samueli 14:10 - Swahili Revised Union Version10 Mfalme akasema, Yeyote atakaye kuambia neno, mlete kwangu, naye hatakugusa tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mfalme akamwambia, “Mtu yeyote akikutishia mlete kwangu na hatakuja kukugusa tena.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Mfalme akasema, Yeyote atakaye kuambia neno, mlete kwangu, naye hatakugusa tena. Tazama sura |