Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 12:29 - Swahili Revised Union Version

29 Basi Daudi akawakusanya watu wote akaenda Raba, akapigana nao, akautwaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Hivyo, Daudi akakusanya watu wote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka mji huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Basi Daudi akawakusanya watu wote akaenda Raba, akapigana nao, akautwaa.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 12:29
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa kusanya watu waliobaki, ukauzunguke mji, na kuutwaa; nisije mimi nikautwaa mji, ukaitwe jina langu.


Kisha akamnyang'anya mfalme wao taji toka kichwani pake; na uzani wake ulikuwa talanta ya dhahabu, nalo lilikuwa na vito vya thamani ndani yake; akavikwa Daudi kichwani. Akazitoa nyara za huo mji, nyingi sana.


Ikawa, Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi, mwana wa Nahashi wa Raba, wa wana wa Amoni, na Makiri, mwana wa Amieli wa Lo-debari, na Barzilai, Mgileadi wa Rogelimu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo