Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 12:28 - Swahili Revised Union Version

28 Basi sasa kusanya watu waliobaki, ukauzunguke mji, na kuutwaa; nisije mimi nikautwaa mji, ukaitwe jina langu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Sasa wakusanye watu wote waliosalia, upige kambi kuuzunguka na kuuteka. La sivyo, nikiuteka, utaitwa kwa jina langu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Sasa wakusanye watu wote waliosalia, upige kambi kuuzunguka na kuuteka. La sivyo, nikiuteka, utaitwa kwa jina langu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Sasa wakusanye watu wote waliosalia, upige kambi kuuzunguka na kuuteka. La sivyo, nikiuteka, utaitwa kwa jina langu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Sasa kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, nao utaitwa kwa jina langu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Sasa kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, nao utaitwa kwa jina langu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Basi sasa kusanya watu waliobaki, ukauzunguke mji, na kuutwaa; nisije mimi nikautwaa mji, ukaitwe jina langu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 12:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yoabu akatuma wajumbe waende kwa Daudi, kusema Nimeshindana na Raba, hata nimeutwaa huo mji wa maji.


Basi Daudi akawakusanya watu wote akaenda Raba, akapigana nao, akautwaa.


Yeye anenaye kwa nafsi yake tu hutafuta utukufu wake mwenyewe; bali yeye anayetafuta utukufu wake aliyemtuma, huyo ni wa kweli, wala ndani yake hamna udhalimu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo