Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 5:2 - Swahili Revised Union Version

2 Katika hili tunajua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, tumpendapo Mungu, na kuzishika amri zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mwenyezi Mungu na kuzitii amri zake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Katika hili tunajua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, tumpendapo Mungu, na kuzishika amri zake.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 5:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haya nawaamuru ninyi, mpate kupendana.


Na katika hili tunajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.


Lakini yeye alishikaye neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli. Katika hili twajua ya kuwa tumo ndani yake.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.


Na amri hii tumepewa na yeye, ya kwamba yeye ampendaye Mungu, ampende na ndugu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo