Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Yohana 5:15 - Swahili Revised Union Version

15 Na kama tukijua kwamba atusikia, tunapoomba chochote, tunajua kwamba tumetimiziwa zile haja tulizomwomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba hutupatia yote tunayomwomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba hutupatia yote tunayomwomba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba hutupatia yote tunayomwomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Na kama tukijua kwamba atusikia, tunapoomba chochote, tunajua kwamba tumetimiziwa zile haja tulizomwomba.

Tazama sura Nakili




1 Yohana 5:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

basi, tazama, nimefanya kama ulivyosema. Tazama, nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako hapakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe.


Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.


BWANA yuko mbali na wasio haki; Bali huisikia sala ya mwenye haki.


Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo